Dr.Mapande

Tiba Asili

Tanzania

PANDEX HERBS


 

+255764516995+

255656198441

thabitsayd@gmail.com


 


 

PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID)


 

-Ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke.Na maambukizi haya kutokea ikiwa bacteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye Uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus),Mirija ya uzazi na kwenye Ovary (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).


 

-Maambukizi ya PID mara nyingi husababishwa na Bacteria wanaosababisha Ugonjwa wa Kisonono na Chlamydia.Hivyo wanawake wenye Kisonono wapo hatarini zaid Kupata PID


 

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

-Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:

????


 

?? Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu.

?? Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA wenye rangi ya maziwa ama njano.

?? Maumivu makali wakati wa kujamiiana.

?? Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C).

?? Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa.

?? Hupatwa na kichefuchefu.

?? Kutapika

?? Miwasho sehemu za

 siri

?? Uchovu

?? Uke kuwa mlaini sana

?? Kizunguzungu

?? Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.

?? Kuvurugika kwa Hedhi.

?? Maumivu ya kiuno


 

ATHARI ZA PID

? Ugumba kwa wanawake

? Kupata Kansa ya shingo ya Uzazi.

? Kutunga mimba nje ya kizazi kutokana na yai kushindwa kufika katika mji wa mimba kutokana na madhara ya PID katika mirija ya Uzazi.

? KUSABABISHA majeraha nje na ndani ya mirija ya uzazi na hii hupelekea kuziba kwa mirija ya Uzazi.

? Maumivu ya tumbo /ngonga mara kwa mara baada ya tendo la ndoa na kipindi cha uchavushwaji mayai (Ovulation).


 

JINSI YA KUEPUKA/KUJIKINGA NA PID

? Epuka kuvaliana nguo za ndani.

? Kuwa na tabia ya kupima mara kwa mara mfumo wako wa Uzazi.

? Kuwa msafi wa mwili na nguo zako za ndan 

? Kula lishe bora.

? Epuka kufanya tendo la ndoa na mwenza wako mara baada ya kugundua ana magonjwa ya kujamiiana (STDs)


 

Tumia dawa Asili iitwayo UROGETIX 5 kwa matibabu ya haraka na uhakika ya PID.


 

TIBA NA USHAURI

??????


 

Dr.Mapande

Tiba Asili

Tanzania

PANDEX HERBS


 


 

+255764516995

+255656198441

thabitsayd@gmail.com

" property="og:description" />

Maelezo ya Bidhaa

DAWA YA PID

Imetembelewa mara
7979

Bei

Maelewano

Maelezo kiufupi :

PID,SABABU ZAKE,DALILI ZAKE,KUJIKINGA KWAKE NA MATIBABU YAKE KWA DAWA ASILI _________________________________________________________________________  Dr.MapandeTiba AsiliTanzaniaPANDEX HERBS +255764516995+255656198441thabitsayd@gmail.com  PELVIC INFLAMMATORY DISEASE....

Hali (Mpya/imetumika?):

Mpya

Inapatikana wapi:

DAR ES SALAAM,TANZANIA

Jina la duka/Muuzaji:

PANDEX HERBS

Mawasiliano:


Share kwenye Whatsapp

Get it on Google PlayPakua app yetu kutoka Google play

zenjishoppazz

Zilizotembelewa hivi punde

No preview available
DAWA YA PID

Imeangaliwa

2024-05-16 14:33:52
TZS Bei Maelewano
No preview available
DAWA YA ASILI YA KUTIBU PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

Imeangaliwa

2024-05-16 14:19:35
TZS Bei Maelewano
No preview available
DAWA YA ASILI YA KUTIBU NGIRI/HERNIA BILA UPASUAJI

Imeangaliwa

2024-05-16 14:14:04
TZS Bei Maelewano
No preview available
Mlango wa aluminium kwa ajili ya office,duka au nyumbani

Imeangaliwa

2024-05-16 14:09:29
TZS Bei Maelewano
No preview available
Korosho Jumla na Reja

Imeangaliwa

2024-05-16 14:00:02
TZS 21,000
No preview available
DAWA ASILI KWA MATIBABU YA ACID REFLUX (GERD)

Imeangaliwa

2024-05-16 13:52:37
TZS 656,198,441
No preview available
Water dispenser na blender used

Imeangaliwa

2024-05-16 13:50:32
TZS Bei Maelewano
No preview available
Viatu vya kike new fashion Clowsed

Imeangaliwa

2024-05-16 13:48:28
TZS 30,000

Maelezo Zaidi

DAWA YA PID

PID,SABABU ZAKE,DALILI ZAKE,KUJIKINGA KWAKE NA MATIBABU YAKE KWA DAWA ASILI


 

_________________________________________________________________________


 


 

Dr.Mapande

Tiba Asili

Tanzania

PANDEX HERBS


 

+255764516995+

255656198441

thabitsayd@gmail.com


 


 

PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID)


 

-Ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke.Na maambukizi haya kutokea ikiwa bacteria wanaoambukiza kwa njia ya kujamiiana watasambaa kutoka kwenye Uke kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus),Mirija ya uzazi na kwenye Ovary (ambapo mayai ya mwanamke hupatikana).


 

-Maambukizi ya PID mara nyingi husababishwa na Bacteria wanaosababisha Ugonjwa wa Kisonono na Chlamydia.Hivyo wanawake wenye Kisonono wapo hatarini zaid Kupata PID


 

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

-Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:

????


 

?? Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu.

?? Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA wenye rangi ya maziwa ama njano.

?? Maumivu makali wakati wa kujamiiana.

?? Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C).

?? Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa.

?? Hupatwa na kichefuchefu.

?? Kutapika

?? Miwasho sehemu za

 siri

?? Uchovu

?? Uke kuwa mlaini sana

?? Kizunguzungu

?? Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.

?? Kuvurugika kwa Hedhi.

?? Maumivu ya kiuno


 

ATHARI ZA PID

? Ugumba kwa wanawake

? Kupata Kansa ya shingo ya Uzazi.

? Kutunga mimba nje ya kizazi kutokana na yai kushindwa kufika katika mji wa mimba kutokana na madhara ya PID katika mirija ya Uzazi.

? KUSABABISHA majeraha nje na ndani ya mirija ya uzazi na hii hupelekea kuziba kwa mirija ya Uzazi.

? Maumivu ya tumbo /ngonga mara kwa mara baada ya tendo la ndoa na kipindi cha uchavushwaji mayai (Ovulation).


 

JINSI YA KUEPUKA/KUJIKINGA NA PID

? Epuka kuvaliana nguo za ndani.

? Kuwa na tabia ya kupima mara kwa mara mfumo wako wa Uzazi.

? Kuwa msafi wa mwili na nguo zako za ndan 

? Kula lishe bora.

? Epuka kufanya tendo la ndoa na mwenza wako mara baada ya kugundua ana magonjwa ya kujamiiana (STDs)


 

Tumia dawa Asili iitwayo UROGETIX 5 kwa matibabu ya haraka na uhakika ya PID.


 

TIBA NA USHAURI

??????


 

Dr.Mapande

Tiba Asili

Tanzania

PANDEX HERBS


 


 

+255764516995

+255656198441

thabitsayd@gmail.com

Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

  • Vitu vyenye ubora wa hali ya juu
  • Bidhaa Oriji
  • Bei zenye kununulika
  • Huduma kwa wateja nzuri
  • Mahali pamoja kwa mahitaji yote
  • Gerentii
  • Mitindo ya kisasa

Mtandao huu una bidhaa nzuri tena zenye bei nafuu, Kila ninapotafuta bidhaa kwanza huja hapa na huweza kujipatia mahitaji yangu kwa bei poa, Naipendekeza kwa yeyote anayetafuta bidhaa bora. Hongera kwa waendeshaji wa website hii..

Tumekusudia kukuhudumia kama mfalme! Tafadhali weka maoni yako kuhusu mtandao huu; tumeazimia kuufanya mtandao mmoja kwa ajili ya mahitaji yote, kama umepata tatizo la udanganyaji au bidhaa feki au jengine lolote usisite kutujulisha moja kwa moja kupitia Mail Us au namba 0655 063 601 ili tuweze kulishughulikia haraka sana

Weka maoni yako

Email yako haitawekwa wazi, maelezo yanayohitajika yamewekwa alama ya *

Maksi zako

Bidhaa nyengine kutoka PANDEX HERBS

Zilizotembelewa sana

Bidhaa zinazofanana

Mpya

SELI

Mikoba ya shule
Zimebaki 10

TZS 38,000

Maelezo

Mpya

SELI

Baby shoe's
Zimebaki 10

TZS 35,000

Maelezo

Mpya

SELI

Medical students'
Zimebaki 300

TZS 170,000

Maelezo

Mpya

SELI

Dummy Test Product
Zimebaki 12

TZS 12,000

Maelezo

Mpya

SELI

Mlango wa aluminium
Zimebaki 1

TZS Bei Maelewano

Maelezo

Mpya

SELI

Kitabu Comprehensive
Zimebaki 48

TZS 8,000

Maelezo

Mpya

SELI

Keki
Zimebaki 30

TZS Bei Maelewano

Maelezo

Mpya

SELI

2SA Security Service
Zimebaki 44

TZS Bei Maelewano

Maelezo

© 2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English